RAIS KIKWETE KUELEZEA UMOJA WA MATAIFA MAENDELEO YA KAZI YA JOPO ANALOLIONGOZA
Na Mwandishi Maalum, New YorkRais Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Ngazi ya Juu kuhusu Mwitikio wa Kimataifa wa Majanga ya Kiafya, anatarajiwa Ijumaa wiki hii, kueleza mbele...
View ArticleKIGOMA MJINI WASEMA MAGUFULI 100%
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Kigoma mjiji waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM zilizofanyika kwenye uwanja wa Kawawa, Ujiji mkoani...
View ArticleKANYAGA TWENDE YA MAMA SAMIA MKOANI MTWARA, ASEMA CCM IPO TAYARI KUFANYA...
Wananchi wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, alipozungumza na walipozuia msafara wake njiani, katika eneo la Makonga wilayani Newala, wakati akieda...
View ArticleMAMA SAMIA AZIKAMATA VILIVYO MIKINDANI MKOANI MTWARA NA MAFIA LEO
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni, uliofanyika leo katika mji mdogo wa Mikindani mkoani Mtwara. Wananchi...
View ArticleMAGUFULI AAHIDI NEEMA KASULU NA KIBONDO
Kuboresha barabara, Elimu, Afya Kutatua tatizo la majiKutoa mikopo kwa vikundi vya kina mama na vijanaKuondoa kodi ndogo ndogo zinazowakera wananchi wa hali ya chiniKuimarisha ulinzi na kuboresha...
View ArticleMAGUFULI APIGA KAMPENI CHATO NA BIHARAMULO
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Kakonko kwenye mkutano wa kampeni za CCM. Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akimkabidhi mgombea ubunge wa...
View ArticleMAMA SAMIA KUENDELEA NA KAMPENI MKOANI TANGA KESHO
Na Bashir NkoromoMgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, inaanza kesho, Septemba 21, 2015, mkoani Tanga.Taarifa zinasema, mkoani Tanga, Mama Samia ataanza ziara yake ya...
View ArticleCHATO YASEMA WAO NI MAGUFULI TU MWANZO MWISHO
Msafara wa mgombea wa urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli ukielekea kwenye uwanja wa michezo Chato maarufu kama Mazaina.Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa...
View ArticleMAMA JANETH MAGUFULI AKONGA NYOYO ZA WATANZANIA
Mke wa Mgombea Urais wa CCM,Mama Janeth John Magufuli akiwasalimia wananchi wa Chato na kuwaomba ridhaa ya kumchagua mumewe Dkt John Pombe Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika...
View ArticleBUKOBA WASEMA YES KWA MAGUFULI MKUTANO WAKE WAVUNJA REKODI
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Gymkhana mjini Bukoba tayari kuhutubia wakazi wa Manispaa ya Bukoba. Umati wa wakazi wa manispaa ya Bukoba wakiwa...
View ArticleMAMA SAMIA ALIVYOITEKA TANGA, MAELFU WAFURIKA KATIKA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI...
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu Hassan, akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika Uwanja wa Usagara jimbo la Tanga, leoWananchi...
View ArticleRAIS KIKWETE APATA TUZO YA BARAZA LA WAFANYABIASHARA LA WANA AFRIKA MASHARIKI...
Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Wilson Masilingi akimkabidhi Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete Tuzo ya Utawala Bora ya Baraza la Biashara la Wana-Afrika Mashariki Waishio Marekani na nchi nyingine...
View ArticleMAMA SAMIA AFANYA MIKUTANO YA KAMPENI KOROGWE MJINI NA VIJINI NA MLALO MKOANI...
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Mazoezi, kufanya mkutano wa kampeni jimbo la Korogwe Mjini mkoani Tanga leo. Umati wa...
View ArticleMAGUFULI AUSTUA ULIMWENGU BAADA YA KUPIGA PUSH UP KWENYE MKUTANO WA KAMPENI...
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimiana na mgombea ubunge jimbo la Nkenge kupitia CCM Balozi Dk. Deodorus Kamara mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa mkutano maarufu kama...
View Article