Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikabidhi Fomu zake za Ununuzi wa Hisa za Vodacom kwa Dalali wa Hisa Bwana Garase Mugisha ,5/5/2017 , Wanao shudia katikati kushoto ni Waziri wa Fedha na Mipango, Philp Mpango na Katibu Mtendeaji wa Baraza la Uwezeshaji Bibi Beng'I Issa na kulia kwa Waziri Mkuu ni Mkurugenzi mkuu wa Vodacom , Shughuli hiyo imefanyika Ofini kw Waziri Mkuu Magogoni Dar es salaam
↧
WAZIRI MKUU MAJALIWA ANUNUA HISA VODACOM
↧