![]() |
Meya mpya wa Manispaa ya Kinondoni, Benjamin Samwel Sitta akiongoza kikao cha madiwani wa Manispaa hiyo baada ya kuchaguliwa leo katika u haguzi ambao amepita kwa kishindo |
MMeya wa Kinondoni Benjamin Sitaa akiwa na Naibu Meya wake na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Ramadhan Madabida baada ya kushinda katika uchaguzi uliofanyika leo