Quantcast
Channel: CCM Blog
Viewing all articles
Browse latest Browse all 22424

BI SHAKIRA ALIKUWA MIONGONI MWA WASANII MAHIRI WALIOKUWEPO DODOMA WAKATI WA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM, JULAI 23, 2016

$
0
0
 Aliyekuwa msanii mahiri wa Taarab, marehemu Shakila Said wakati wa uhai wake akipongezwa na Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete wakati wa Tamasha la wasanii kumuaga Kikwete usiku baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa chama hicho, mjini Dodoma Julai 23, mwaka huu.
 Shakila akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Abdulrahman Kinana
Akitafakari jambo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 22424

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>