BENKI YA POSTA TANZANIA, YASAIDIA SHULE ZA MSINGI WILAYANI ILEJE MKOANI MBEYA
Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Janet Mmbene, (wapili kushoto), akipeana mikono na Meneja msaidizi wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, tawi la Tunduma, Teddy Msanzi, wakati wa hafla ya kukabidhi...
View ArticleMAGUFULI ASEMA YEYE NI MUUMINI WA MISINGI IMARA YA CCM
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Ally Mtopa akisalimiana na Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli nje ya ofisi ya CCM mkoa wa Lindi Mgombea wa Urais kwa tiketi ya...
View ArticleJK AKEMEA DHULMA KWENYE VYAMA VYA USHIRIKA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kwenye kilele cha sherehe za nane nane mkoani Lindi ambapo alizungumzia kukua kwa sekta ya kilimo na matumizi mazuri ya...
View ArticleRAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AZINDUA MRADI MKUBWA WA MAJI UTAKAO TOA LITA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi mkubwa wa maji safi katika Halmashauri ya Manispaa ya Lindi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
View ArticleKIKWETE AZINDUA KIVUKO CHA MV. MAFANIKIO MTWARA NA KUWEKA JIWE LA MSINGI LA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Mwigulu Mchemba wakati alipowasili kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa Kivuko cha Mv....
View ArticleKIKWETE AWAAGA RASMI WANANCHI WA MTWARA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akihutbia wakazi wa Mtwara kwenye uwanja wa Nangwanda ambapo aliwaaga wakazi hao huku akiwaambia kuwa Mtwara ndio utakuwa mji wenye...
View ArticleMTWARA WAMUHAKIKISHIA MAGUFULI USHINDI WA KISHINDO
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisalimia wanachama wa CCM mkoa wa Mtwara waliojitokeza kwa wingi kumsalimia kwenye ofisi za CCM Mkoa wa Mtwara. Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk....
View ArticleKIMBISA AMLAKI DK. JAKAYA KIKWETE MJINI DODOMA, ASEMA WANAOMCHULIA KUHAMA CCM...
Mwenyekiti wa CCM Taifa Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma Adam Kimbisa, baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Dodoma, ambapo ataongoza vikao vya Kamati...
View ArticleKAMATI KUU YAAGIZA KURA ZA MAONI KURUDIWA KATIKA MAJIMBO MATANO
Nape Nnauye akizungumza kwenye moja ya mikutano na waandishi wa habariKAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CC) imeagiza kurudiwa kwa uchaguzi katika majimbo matano kutokana na dosari...
View ArticleKAMATI KUU YA CCM YAKUTANA LEO MJINI DODOMA, YAAGIZA KURA ZA MAONI UBUNGE...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipanga nyaraka vizuri kwenye meza kuu, kabla ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM, kuanza leo, katika Ukumbi uliopo jengo la White House, Makao Makuu ya CCM, mjini...
View ArticleJIK AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM MJINI DODOMA
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kutoka kushoto) akifungua kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kwenye ukumbi wa NEC mjini Dodoma...
View ArticleRAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA NEC YA CCM LEO IKIWA NI SIKU YA PILI, MJINI...
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akiendesha kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, leo Agosti 13, 2015, katika ukumbi uliopo Jengo la White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma,...
View ArticleMAJINA YA WALIOTEULIWA UBUNGE, UWAKILISHI NA VITI MAALUM CCM YATANGAZWA RASMI
Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akionyesha kitabu cha Ilani ya Uchaguzi ya 2015-2020 ya CCM wakati wa kufunga kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM...
View ArticleCCM YAKANUSHA TAARIFA ZA UPOTOSHAJI ZA MGOMBEA WAKE ZILIZOSAMBAZWA KWENYE...
Ndugu Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akielekea kwenye ukumbi wa mkutano kwa ajili ya kuzungumza na waandishi wa habari, huku akiwa ameshikilia kitabu cha Ilani ya Uchaguzi ya CCM...
View ArticleJAJI MALLABA AKABIDHI OFISI ZA NEC KWA MKURUGENZI MPYA WA UCHAGUZI
Mkurugenzi wa Uchaguzi aliyemaliza muda wake, Jaji Julius Mallaba (kushoto), ambaye ameteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania akiongea na Mkurugenzi wa Uchaguzi mpya, Kailima Kombwey mapema leo...
View Article
More Pages to Explore .....