MANGULA, NAPE WAONGOZA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU...
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula akihutubia Jumuia ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu katika Kongamano la Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, lililoandaliwa na Vijana wa CCM wa Vyuo Vikuu,...
View ArticleDK. SLAA KWISHA KAZI, SASA AWA KIPOFU KAONA MWEZI KUHUSU ZIARA YA RAIS...
Siku zote tunajua kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Bwana Wilbroad Slaa ni mtu mwongo, mnafiki na mzandiki ambaye moja ya sifa zake ni kupora na kuoa mke wa mtu.Lakini sasa amekuwa kipofu aliyeona mwezi....
View ArticlePRESIDENT KIKWETE OFFICIATES AT THA CNN MULTICHOICE AFRICAN JOURNALIST AWARDS...
Tanzanian songbird Lady Jay Dee sings the National Anthem at the opening of Gala Awards ceremony held at the Mlimani City Conference Centre, in Dar es Salaam on Saturday October 18, 2014. President...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHUDHURIA SHEREHE YA KUWEKWA WAKHFU ASKOFU MTEULE...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana nabaadhi ya viongozi wa dini ya Kikristu, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo,...
View ArticleSIMBANET YAFANYA SIKU YA FAMILIA
Kampuni ya SimbaNET (T) Linited ya jijini Dar es Salaam Jumamosi hii iliandaa bonanza la michezo lililowakutanisha pamoja wafanyakazi wa kampuni hiyo na familia zao. Siku hiyo ilikuwa ni ya kula...
View ArticleCHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHATANGAZA RATIBA YAKE YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA...
TAREHE SHUGHULI 19/10/2014- 22/10/2014Mikutano ya Wanachama wote wa CCM Matawini kwa ajili ya kuelimishwa na kuhamasishwa kuhusu Uchaguzi. 23/10/2014-...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA 14 WA WATAALAM WA HUDUMA ZA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza wakati akifungua rasmi Mkutano wa 14 wa Wataalam wa Huduma za Habari na Maktaba za Afya Afrika (AHILA)...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGA MKUTANO MKUU WA WANACCM WILAYA YA ILALA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na wanachama wa CCM, wakati alipokuwa akifunga mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Ilala,...
View ArticleTANZANIA YAJIVUNIA KUFIKIA MALENGO YA MILENIA KATIKA AFYA, ELIMU
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, John Haule (kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu wiki ya Umoja wa Mataifa inayotarajiwa kuanza kuadhimishwa Ijumaa wiki...
View ArticleRAIS KIKWETE AANZA ZIARA NCHINI CHINA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagwa na Mkuu wa Majeshi JeneraliDavis Mwamunyange na IGP Ernest Mangu wakati akiondoka katika Uwanjawa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku...
View ArticleMILIONI 16/- ZATOLEWA NA CIP TRUST UJENZI WA MADARASA
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, (mwenye mgorore wa bluu) akishiriki kutoa burudani na kikundi cha uhamasishaji cha kijiji cha Kinyamwenda kwenye sherehe ya kukabidhi vyumba viwili vya madarasa...
View ArticleSOUTH SUDAN'S SPLM WARRING FACTIONS INK CCM-BROKERED FRAMEWORK AGREEMENT TO...
Factions of the ruling party in South Sudan, the Sudan Peoples’ Liberation Movement (SPLM), on Monday 20th October, 2014 signed a framework agreement aimed at addressing root causes of the conflict...
View ArticlePSPF YAWAPIGA MSASA WALIMU TANZANIA KWA SEMINA LEO MJINI MOROGORO
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina ya siku moja kwa wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara iliyofanyika...
View ArticleMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA BOTSWANA NCHINI TANZANIA IKULU DAR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Botswana nchini Tanzania, anayemaliza muda wake, Oliphant Tuelonyana, aliyefika ofisini kwake...
View ArticleKANUNI YA SHIRIKISHO LA WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUU WA TANZANIA
SHIRIKISHO LA WANAFUNZI WA VYUO VYA ELIMU YA JUUUNAUNDWA KWA MUJIBU WA KATIBA YA CHAMA CHAMAPINDUZI YA MWAKA 1977 TOLEO LA 2012 ,SEHEMU YATATU,IBARA 31 (1) CUTANGULIZIChama cha Siasa kikomavu...
View ArticleKAMATI YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA YATEMBELEA ENEO LA...
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Bw. Felix Maagi akiiongoza Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira wakati ilipotembelea eneo la mradi wa nyumba ambao unatarajiwa kuanza katika...
View ArticleSHEREHE ZA UN ZAFANA: TZ YATAKA UTEKELEZAJI MFUKO WA GCF
Kapteni Emmanuel Kukula (aliyenyoosha kidole) wa Jeshi la Wananchi Tanzania akiwa na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa pamoja na Mtaalam wa Mahusiano na...
View ArticleMAHAFALI YA KIDATO CHA NNE SHULE YA SEKONDARI WAMA-NAKAYAMA KUFANYIKA...
TANGAZO- MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE WAMA NAKAYAMA2.pdf by moblog
View Article
More Pages to Explore .....