Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JARIDA LA KIMATAIFA LAMFAGILIA MOHAMMED DEWJI KWA UJARIAMALI

Na Mwandishi Wetu Mjasirimali mchapakazi na Mbunge Kijana nchini Tanzania, Mohammed Dewji (MO) ametajwa katika jarida la Kimataifa la mabilionea duniani katika Nyanja za biashara (Forbes Africa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UFUNGUZI WA MKUTANO WA SMART PARTNERSHIP DIALOGUE 2013

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na viongozi mbalimbali pamoja na vijana wa umri wa CPTM 29ers waliohudhuria mkutano wa Smart Partneship Dialogue 2013 wakati wa ufunguzi rasmi wa mkuatno huo...

View Article


MWENDESHA MASHITAKA NI MSHITAKIWA

Mwaka 1984, mkoani Dodoma ndani ya ukumbi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kulikuwepo kesi kubwa. Kesi ya kiongozi wa juu wa serikali ya Zanzibar. Alishitakiwa kwa kosa la kwenda kinyume cha “hati za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA MAPOKEZI YA OBAMA YAKAMILIKA, TASWIRA ZA IKULU .

Taswira mbalimbali zinazoonesha maandalizi ya mapokezi makubwa ya Rais wa Marekani Barack Obama atapowasili Ikulu jijini. Dar es salaam mchana huu. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama ilivyo kawaida yake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPOKEZI YA RAIS OBAMA YAFANA,AFANYA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI

 Rais Barack Obama wa Marekani akipokewa kwa Shangwe Ikulu, Dar es salaamRais Barack Obama wa Marekani akiongea na waandishi wa habari.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS BARACK OBAMA APANDA MITI IKULU DAR

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa maelezo ya mti wa mpingo anaotaka kuupanda katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam leo. Rais Obama akipanda mti aina ya mpingo katika viwanja vya Ikulu jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TWIGA BANCORP KUTUMIA MAWAKALA KUTOA HUDUMA ZAKE

Ofisa Mtendaji Mkuuwa TwigaBancorp Limited,Hussein Mbululo, akizungumza na waandishi wa Habari kuhusiana na huduma mbalimbali za kibenki zinazopatikana katika katika Banda la Benki hiyo lililopo katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA WAKE ZA MARAIS

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe George W. Bush na Mkewe Laura na Mama Salma Kikwete wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wake wa marais wa Afrika Mashariki leo July 3,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKURUGENZI WATENDAJI WA NBC NA SCB WASHIRIKI MKUTANO WA AFRICAN FIRST LADIES...

Mizinga Melu Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya National Bank Of Commerce (NBC) kulia akizungumza na Liz Lloyd Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Standard Chatered mara baada ya Mke wa Rais wa Marekani Mama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI WA VETA MWENYE MAHITAJI MAALUMU AWA KIVUTIO KATIKA BANDA LA VETA.‏

 Range Jackson ambaye  ni mwanafunzi mwenye mahitaji maaalum(Matatizo ya akili katika kujifunza) walimu  wa VETA wanakataa kuwaita jina hilo kwa kuwaonyesha kuwa wanafundishika ,Pichani akiwaonyesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SUMRY LATUMBUKIA MTONI NA KUUA TISA KATAVI

Na Willy Sumia, KataviKATIKA hali isiyo ya kawaida basi la kampuni ya Sumry limetumbukia mtoni na kuuwa watu tisa na kujeruhi abiria wapatao hamsini na tatu katika mto Iku uliopo katika kijiji cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE ACHEZESHA MECHI YA WABUNGE MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA

Rais Jakaya Kikwete akikagua timu ya wabunge mashabiki wa Yanga kabla ya timu hiyo kumenyana na wenzao wa Simba, kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, wakati wa Tamasha la Matumaini. Yanga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SONGAMBELE: NILINUSURIKA KUFUNGWA KWA KUMCHEKESHA RAIS

MUSTAFA SONGAMBELEDAR ES SALAAM, TanzaniaMuasisi wa TANU Mustafa Mohammed Songambele amesema aliwahi kunusrika kufungwa kwa sababu ya kumchesha rais, Mwalimu Julius Nyerere.Akizungumza na baadhi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS KIKWETE AAGANA NA MABALOZI WAPYA LEO IKULU, DAR ES SALAAM‏

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mabalozi saba walioteuliwa hivi karibuni na kuagana nao kabla hawajaripoti kwenye vituo vyao katika nchi mbali mbali leo Ikulu jijini Dar es salaam. Mabalozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NHC YAMPIGA TAFU MISS TANZANIA 2012 KUJENGA BWENI LA ALBINO BUHANGIJA

Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred (kulia) akipokea hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 4.1 kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MABUNGE WA KUJADILI SERA ZA...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mkurugenzi wa Baraza la Dunia ya baadaye wa Dunia, 'World Future Council' Alexandra Wandel, wakati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHUGHULI MBALIMBALI ZA RAIS KIKWETE IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO JULY 11, 2013

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Balozi wa Sweden nchini Mhe Lennarth Hjelmaker aliyeonana naye kwa ajili ya kuwasilisha Ujumbe kutoka Serikali yake leo Ikulu, jijini Dar es salaam.Rais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AHANI MSIBA WA DKT. JUDITH KAHAMA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano w a Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwafariji baadhi ya ndugu wa marehemu Dkt. Judith Kahama, wakati alipofika kuhani msiba huo nyumbani kwa marehemu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA NETHERLAND ALIYEMALIZA MUDA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Netherland nchini Tanzania, Mhe. Ad Koekkoek, aliyemaliza muda wake nchini, wakati alipofika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

REDBRIGADE NI UASI SI SAWA NA GREEN GUARD YA UVCCM

KATIBU MKUU WA UVCCM, MARTINE SHIGFELLA LEO AMZEZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI NA KELEZA MAMBO MATATU MUHIMU LIKIWEMO HATUA YA CHADEMA KUTAKA KUANZISHA MGAMBO KINYUME CHA SHERI.SASA FUATILIA MAELEZO...

View Article
Browsing all 22409 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>