CCM KUUTEKA MJI WA TABORA LEO, KINANA KUUNGURUMA VIWANJA VYA SHULE YA...
Abdulrahman KinanaNA BASHIR NKOROMO, TABORAChama Cha Mapinduzi (CCM) leo kinatarajiwa kuuteka mji wa Tabora, wakati Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana atakapohitimisha ziara yake ya siku kumi mkoani...
View ArticleKINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI TABORA KWA KISHINDO, MAELFU WAHUDHURIA...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara aliofanya leo jioni kwenye Uwanja wa Stendi ya zamani mjini Tabora. Kinana amemaliza ziara yake ya siku 11...
View ArticleKINANA AZIDI KUCHANJA MBUGA SINGIDA, LEO AFUNGA KAZI IKUNGI
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi kwenye Uwanja wa shule ya sekondari Sebuka, wilaya ya Ikungi mkoani Singida, leo, Mei 22, 2014 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye...
View ArticleUJUMBE KUTOKA CHAMA CHA NRA WATEMBELEA MAKAO MAKUU YA CCM DODOMA
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Ndugu Mwigulu Nchemba akizungumza na ugeni kutoka chama rafiki cha National Resistance Army cha Uganda waliofika Kujifunza Mambo mbalimbali ya Kiuongozi na Kiutendaji ndani...
View ArticleURUSI NA CHINA ZA KWAMISHA AZIMIO LA KUIPELEKA SYRIA ICC
Na Mwandishi,New YorkSiku chache baada ya Bw. Lakhdar Brahimi ,Mjumbe wa Maalum wa Katibu Mkuu na Muungano wa Nchi za Kiarabu kujiuzulu na usulushi wa mgogo wa Syria. Wananchi wa Syria wamepata...
View ArticleKINANA: CHAMA KINA WAJIBU WA KUHAKIKISHA KINATIMIZA AHADI ZA 2010
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa Iramba Magharibi wakati wa mapokezi katika kijiji cha Kiselya. Katibu Mkuu na msafara wake wameanza ziara katika wilaya ya Iramba...
View ArticleKINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYA YA MKALAMA KESHO KUHUTUBIA MKUTANO MKUBWA...
Ahutubia Gumanga,Nduguti, Nkingu na Iguguno.wananchi wapenda hotuba zake kwani nikiongozi pekee anayezungumzia maendeleo na ukweli mtupu .Kesho kufanya mkutano mkubwa Singida mjini kwenye viwanja...
View ArticleCCM KURINDIMA LEO MJINI SINGIDA CHINI YA KINANA
* Magufuli, Mwakyembe ndani ya nyumbaKINANANa Bashir Nkoromo, SingidaChama Cha Mapinduzi (CCM) leo kinatarajiwa kuuteka mji wa Singida kitakapofanya mkutano wa hadhara wa aina yake kwenye Uwanja wa...
View ArticleMAANDALIZI YA MKUTANO WA CCM YAPAMBA MOTO SINGIDA MJINI
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akikagua jukwaa la wageni waalikwa kwenye uwanja wa People's Singida. Katibu wa NEC itikadi na Uenezi Nape Nnauye akikagua jukwaa la kuhutubia ,wengine...
View ArticleCCM YATINGISHA SINGIDA MJINI, MAMIA WAHUDHURIA MKUTANO WA HADHARA VIWANJA VYA...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika jioni hii, lwenye Viwanja vya Peoples mjini Singida, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM...
View ArticleKINANA AMALIZA ZIARA YAKE MKOANI SINGIDA KWA KUZURU SINGIDA VIJIJINI LEO
Mbunge wa Singida Mashariki Lazaro Nyalandu akimlaki Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakati wa mapokezi ya kiongozi huyo wa Chama, katika kata ya Msisi, Singida Vijijini, leo Mei 26, 2014....
View ArticleKINANA AANZA ZIARA MKOA WA MANYARA, AKUTANA NA SUMAYE NA MARY NAGU KUCHAPA KAZI
Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye akimlaki Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, katika mapokezi yaliyofanyika katika kijiji cha Gehandu, wakati Kinana alipowasili katika Wilaya ya Hanang,...
View ArticleMWENYEKITI WA CHADEMA WILAYA YA HANANG AJIKAANGA MBELE YA KINANA NA NAPE...
.Kinana na Nape wakimhoji vizuri Mwenyekiti wa Chadema wa Wilaya ya Hanang, Augustino Mayumba aeleze alikopeleka hati ya mkataba wa mnara wa simu wa Vodacom uliowekwa katika Kijiji cha Basouto ambao...
View ArticleKINANA ATINGISHA ENDASAK NA KATESH WIYALANI HANANG
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi mjini Endasaki, Hanang, jana, Mei 27, 2014, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi...
View ArticleKINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYA YA MBULU KWA MAFANIKIO KUHUTUBIA BABATI LEO...
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Mbulu na kuwataka kutumia muda mwingi kwenye shughuli za kimaendeleo kwa kushirikiana na serikali.Katibu Mkuu alisisitiza serikali...
View ArticleKINANA AWASILI WILAYA YA BABATI VIJIJINI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Ndugu Vrajilal JituSon mara baada ya kuwasili na kupokelewa katika Kata ya Magara wilaya ya Babati...
View ArticleKINANA : VIONGOZI WA VIJIJI WAACHE KUUZA ARDHI BILA KUWASHIRIKISHA WANAKIJIJI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na wamasai katika kijiji cha Ayamango (Gallapo) ambapo alikuwa na kazi ya kufungua shina la Wakereketwa Wajasiriamali na kuhutubia mkutano wa...
View ArticleKINANA AINGIA BABATI MJINI LEO, KUUNGUMA UWANJA WA KWARAA JIONI HII
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimtwisha ndoo ya Maji mkazi wa Kijiji cha Himiti Kata ya Bonga, wilaya ya Babati mjini, Zena Rashid, bada ya kuzindua mradi wa maji wa kata hiyo leo akiwa...
View ArticleKINANA AMALIZA ZIARA WILAYANI BABATI KWA MKUFANYA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA,...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi kwenye Uwanja wa Kwaraa mjini Babati, leo Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, akihutubia mamia ya wananchi kwenye Uwanja...
View Article