BULEMBO AWASILI WILAYANI BIHARAMULO MKOANI KAGERA JIONI HII
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk Amani Kaborou wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali, maofisa na wote waliomo kwenye msafara,...
View ArticleBULEMBO APOKEWA RASMI BIHARAMULO, LEO APIGA MKUTANO WA NDANI
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Alhaj Abdallah Bulembo akivishwa skafu na Kijana wa UVCCM, wakati wa mapokezi rasmi katika Wilaya ya Bharamulo mkoani Kagera leo.  Katikati ni Mwenyekiti wa CCM mko huo,...
View ArticleBULEMBO ASABABISHA MAAFA CHADEMA NGARA, 71 WATIMKIA CCM LEO
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akipokea kadia kutoka kwa Niniani Bakhari, aliyekuwa Kada machachari wa Chadema, ambaye alitangaza kuhamia CCM wakati wa mkutano wa ndani uliofayika...
View ArticleZIARA YA BULEMBO KYERWA NA KARAGWE MKOANI KAGERA LEO
Mdau hizi ni picha za matukio mbalimbali ya ziara ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazszi Tanzania, Alhaj Abdallah Bulembo katika Wilaya za Kyerwa na Karagwe mkoani Kagera, leo....
View ArticleDR.SHEIN AONGOZA MAZISHI YA PROF.ISHAU Z'BAR
NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR.RAIS wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein leo ameungana na mamia ya wananchi katika mazishi yaaliyewahi kuwa Mjumbe  wa Halmashauri Kuu na...
View ArticlePEREIRA ASEMA ATAPAMBANA NA WALIOPANDIKIZWA KUPANGA SAFU KATIKA UCHAGUZI WA CCM
NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR.CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka viongozi na watendaji wa zamani wa ngazi za matawi waliowania tena nafasi za uongozi katika uchaguzi unaoendelea hivi sasa ndani ya chama...
View ArticleMAPIGANO BUNGENI IRAN
kundi linalojiita Dola la Kiislamu limedai kuhusika na mashambulizi mawili yaliyoteka kwa mfululizo leo hii mjini Tehran, Iran ambayo yanatajwa kusababisha vifo vya hadi watu saba na kuwajeruhi wengine...
View ArticlePRESIDEDENT DR. MAGUFULI THANKS KUWAIT FOR FUNDING CONSTRUCTION OF...
President of United Republic of Tanzania John Pombe Magufuli has thanked government of Kuwait for its financial support for the construction of Chaya – Nyahua road in Singida region.The Kuwait...
View ArticleBULEMBO AFUNGA KAZI WILAYA YA MISENYI NA BUKOBA MJINI MKOANI KAGERA, LEO
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Alhaj Abdallah Bulembo akiwasili ukumbini kuendesha kikao cha Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Misenyi, Mabalozi,...
View ArticleWAZIRI MKUU KATIKA HAFLA YA UZINDUZI NA UGAWAJI NA USAMBAZAJI WA VIFAA KWA...
Waziri Mkuu akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati alipowasili katika  Shule ya Msingi ya Uhuru Mchanganyiko Dar es Salaam jana  Mshereheshaji akiongoza uzinduzi huo Katibu Tawala wilaya ya Ilala,...
View ArticleMSIBA WA CISCO JIJINI DAR ES SALAAM
Na Benny KisakaAbdulkarim Omary Mtiro, almaarufu Cisco Mtiro, umelala Brother tangulia. Umelala usingizi. Usingizi ambao hautaamka wakati huu. Hautaamka brother kwa kuwa wanaolala usingizi huu...
View ArticleBULEMBO AMALIZA ZIARA MKOANI KAGERA KWA KUUNGURUMA NA WAJUMBE WA BUKOBA...
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Alhaj Abdallah Bulembo akivalishwa Skavu alipokuwa kwenye mpaka wa Wilaya ya Bukoba Mjini na Wilaya ya Muleba, leo.Mjumbe wa Kamati...
View ArticleHOTUBA YA MAPENDEKEZO YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI KWA...
 I.     UTANGULIZI1.          Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu lipokee, lijadili na kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2017/18. Bajeti hii...
View ArticleSPIKA NDUGAI APATA UGENI WA BALOZI WA MOROCCO NCHINI TANZANIA PAMOJA NA...
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia) akisalimiana na Balozi wa Morocco nchini Tanzania, Mheshimiwa Abdelilah Benryane (kushoto) pale alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.Spika wa...
View ArticleBULEMBO AANZA ZIARA MKOANI GEITA, LEO APIGA MIKUTANO WILAYANI BUKOMBE
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo na msafara wake, wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa CCM na Jumuia zake mkoa wa Kagera, wakati wakiagana tayari kuingia katika mkoa wa Geita...
View Article