BAADA YA KUZINDULIWA KADI ZA B-PESA SASA KAMPUNI YAJA NA 'MSHAHARA CARD'
DAR ES SALAAM, TanzaniaMKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Smart Banking Solutions (SBS) Gustav Vermaas, amesema baada ya kampuni hiyo kuingiza sokoni hivi karibuni kadi yake ya B-PESA sasa ina mpango...
View ArticleUNIC YAFANYA MAFUNZO YENYE TIJA YA UJASIRIMALI PEMBA
Mshehereshaji Bw. Salum Msellem kutoka Istiqama Radio akitambulisha meza kuu kwa washiriki wa mafunzo ya Ujasiriamali ya siku moja kwa Vijana Visiwani Pemba yaliyofanyika mwishoni mwa juma kwenye...
View ArticleJUMUIA YA WAZAZI YA CCM KINONDONI WAENDA KUJINOA MOROGORO
Baadhi ya viongozi wa Jumuia ya Wazazi Kata za wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam, wakiwa kwenye Ofisi ya CCM wilaya ya Kinondoni wakati wakisubiri kuanza safari ya kwenda Morogoro leo kwa ajili ya...
View ArticleMKE WA RAIS, MAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA MKUTANO WA WANAWAKE AFRIKA...
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokewa na Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa CEO Clubs Network, Bwana Tareq Ahmed Nizami, mwandaaji mwenza wa Mkutano wa Wanawake kutoka Afrika, Mashariki ya Kati...
View ArticleSABA MBARONI KWA MAUAJI YA MWENYEKITI WA ZAMANI WA CCM MWANZA
Marehemu Mabina alivyouawaMWANZA, TanzaniaWatu saba wanashikiliwa na Polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya kinyama ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mwanza...
View ArticleCCM MOROGORO WAFAGILIA ZIARA ZA KINANA MIKOANI, NI KATIKA SEMINA YA VIONGOZI...
Mgeni rasmi, Dorothy Mwamsiku akiingia ukumbini huku akisindikizwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge na Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi ya CCM Kinondoni, Charles Mgonja. Mgeni...
View ArticleNDEGE YA ETHIOPIAN AIRLINE YANUSURIKA AJALI YATUA GHAFLA UWANJA WA ARUSHA
Habari iliyotufikia kutoka Arusha leo ni kwamba Ndege ya Ethiopian Airline Boing 787 imetua ghafla katika Uwanja wa Ndege wa Arusha baada ya kushindwa kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kilimanjari (KIA)...
View ArticleSEMINA YA VIONGOZI WA JUMUIA YA WAZAZI YA CCM WILAYA YA KINONDONI YAENDELEA...
Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Abilah Mihewa akizungumza katika semina ya viongozi wa Jumuia ya Wazazi ya CCM wilaya ya Kinondoni, alipoungana nao kwenye semina hiyo leo, mkoani Morogoro. Pamoja...
View ArticleDK. FENELLA AFUNGA SEMINA YA WAZAZI WILAYA YA KINONDONI ILIYOFANYIKA MOROGORO
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Waziri wa Habari, VIjana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara, akimkabidhi cheti Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Kata ya Kawe, Benjamin Joseph,...
View ArticleMWALIKO KWA MAKUNDI MBALIMBALI KUPENDEKEZA MAJINA YA WATAKAOTEULIWA KUWA...
UNITED REPUBLIC OF TANZANIATANZANIA INFORMATION SERVICES PRESS RELEASE P.O. Box 9142, Dar es Salaam, Tel: 2110585, 2122771/3, Fax: 2113814, e-mail: Date: 20/12/2013TAARIFA KWA VYOMBO...
View ArticleNAPE: NI SAHIHI MAWAZIRI KUWAJIBISHWA
*Asema ni fundisho kwa watakaolala*Ataka hatua zaidi zichukuliwe*ziara za Kinana zimesaidia sana kutatua kero*Bado moto wa ziara hizo haujapamba*2015 CCM kurejesha viti vya ubunge, Udiwani vilivyoko...
View ArticleKUTANA NA STEVEN MHINA DUNGUMALO WA UHURU FM
Huyu ndiye, Steven Mhina Dungumalo, kijana mwenye umri wa miaka 40 tu, anatangaza kipindi cha Hellow Tanzania cha saa 12- saa 3 asubuhi @ siku na vipindi kama cha enzi hizo kinachohusu uchambuzi wa...
View ArticleDR SHEIN, SADIFAH WAFUNGUA MATEMBEZI YA VIJANA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA...
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dr Shein,Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana (UVCCM) Ndg Sadifah Juma wakiongoza matembezi ya Vijana.Rais...
View ArticleVIJANA WAMPONGEZA RAIS KIKWETE KUWAWAJIBISHA MAWAZIRI WANNE
MWENYEKITI WA CCM, RAIS KIKWETENA BASHIR NKOROMOUMOJA wa Vijana wa CCM, Kata ya Mabibo, Kinondoni jijini Dar es Salaam, umempongeza Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kwa kuwavua uongozi mawaziri...
View ArticleCHOLAGE AFUNGA SEMINA YA UVCCM MABIBO, AKABIDHIWA PICHA ZA NAPE, DK. FENELLA...
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Kata ya Mabibo, wilaya ya Kinondoni, Zakaria Kimemeneki (kulia), akikabidhi zawadi ya picha ya Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, kwa Katibu wa...
View ArticleDIWANI WA CCM AFARIKI KWA AJALI YA PIKIPIKI YAKE SHINYANGA
SHINYANGA, Tanzania DIWANI wa Kata ya Nyida wilayani Shinyanga kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Shindiko Masele(40) amekufa papo hapo baada ya kupinduka na pikipiki aliyokuwa...
View ArticleEWURA YATANGAZA BEI MPYA YA UMEME
Mkurugenzi wa Usimamizi wa Uchumi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Felix Ngamlagosi (kulia) akitangaza bei mpya ya umeme jana..TAARIFA KAMILITarehe 11 Oktoba 2013, Shirika la Umeme...
View ArticleWATENGENEZAJI SABA WA MAMBOMU YA KIVITA WASHIKWA KATIKA NYUMBA YA IBADA
Na Oscar Assenga,Korogwe.JESHI la Polisi mkoani hapa kwa kushirikiana na wakazi wa Kijiji cha Maili kumi wilayani Korogwe wamefanikiwa kuwakamata watu saba kwa tuhuma za kuhusika na kuweka mabomu...
View ArticlePINDA APOKEA MSAADA WA PIKIPIKI 44
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama pikipiki mbili kati ya 44 zilizotolewa msaada kwake na Ubalozi wa China nchini pamoja na Kampuni ya Futang ya China katika makabidhiano yaliyofanyika...
View Article