Quantcast
Channel: CCM Blog
Browsing all 22614 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HATUTAKUBALI TLS KUJIINGIZA KATIKA SIASA-MWAKYEMBE

Waziri wa Mambo ya Katiba na Sheria, Mhe. Dkt Harrisson Mwakyembe amesema Serikali haiwezi kuona Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kinajiingiza katika siasa na kama TLS wanataka hivyo, basi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO MACHI 8,2017

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt.SHEIN:NI MUHIMU NCHI WA WANACHAMA WA IORA KUIMARISHA USHIRIKIANO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesisitiza haja ya kuimarisha mashirikiano kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi zinazopakana na Bahari ya Hindi (IORA),...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA ARDHI YABORESHA OFISI ZA KANDA

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi, Naibu wake Mhe. Dkt. Angeline Mabulla, Katibu Mkuu; Dkt Yamungu Kayandabila na Viongozi wengine wakuu wa wizara wakikagua magari ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASAUNI ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA ABEID AMANI KARUME, AAGIZA...

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza na Maafisa wa Idara ya Uhamiaji Zanzibar, wakati wa ziara ya kukagua udhibiti wa uingiaji wa Dawa za Kulevya Visiwani humo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC GONDWE APOKEA MSAADA WA MBEGU KUTOKA WORLD VISION

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondwe (wa kwanza kushoto) pamoja na  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw. William Makufwe wakipokea mbegu za mahindi ya njano kutoka kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI, WAZIRI KAIRUKI AONGOZA KUFANYA USAFI MUHIMBILI

Waziri Kairuki (wa pili kutoka kushoto) akifanya usafi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) leo ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya wanawake duniani. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uuguzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KATIKA PICHA MKOANI SINGIDA

Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, wazee na watoto Ummy Mwalimu akikata utepe kuzindua kituo na kiwanda cha kuongeza thamani mazao ya nafaka cha Ititi kinachomilikiwa na vikundi vya akina mama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MAJALIWA AHUDHURIA MAZISHI YA MAMA YAKE MDOGO MHE JAKAYA KIKWETE

Rais Mstaafu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akimpokea Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohudhuria mazishi ya Bibi. Nuru Halfan Kikwete ambaye ni mama mdogo wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne mheshimiwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO MACHI 9,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR, DK SHEIN AREJEA NYUMBANI LEO AKITOKEA INDONESIA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na  kuagana na Mhe, Airlangga Hartarto ambae ni miongoni mwa Viongozi wakuu Nchini Indonesia   katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USIKU WA WANAWAKE WANAOFANYA KAZI MGODI WA DHAHABU ACACIA BULYANHULU KAHAMA

Hapa ni katika ukumbi wa Jensen Complex Hotel uliopo Kakola katika halmashauri ya Msalala wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga ambapo usiku wa Machi 08,2017 ,wanawake wanaofanya kazi mgodi wa dhahabu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIKAO MAALUM CHA BARAZA KUU LA UVCCM CHA RIDHIA NA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA...

Kaimu katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka akizungumza katika kikao cha kamati ya Utekelezaji kilichoketi mapema ya leo kabla ya kikao cha Baraza kuu Maalum la Uvccm Taifa lililofanyika katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO MACHI 10,2017

View Article

UJUMBE WA POLEPOLE KUELEKEA MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM MACHI 12, 2017 MJINI...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI WA CCM, RAIS DK MAGUFULI AENDESHA KIKAO CHA USALAMA NA MAADILI

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John Magufuli akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein, alipowasili kuendesha kikao cha Usalama na Maadili, kilichofanyika leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPELELEZI KESI YA KITILYA WASUBIRI USHAHIDI KUTOKA ULAYA

Watuhumiwa wa kesi ya uhujumu uchumi Miss Tanzania wa Zamani Shose Sinare na kamishna mstaafu wa TRA, Harry Kitilya n Sioi Sumari wakiwa katika kizimba cha mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKE WA RAIS MAMA JANETH MAGUFULI ASHIRIKI MISA YA NJIA YA MSALABA KATIKA...

 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akijumuika na waumini wengine kupokea Ekaristi  Takatifu wakati wa misa ya Njia ya Msalaba katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Paulo wa Msalaba mjini Dodoma Ijumaa Machi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE KUMI AMBAO NI MASHUHURI TANZANAIA

Na Jumia Travel TanzaniaKila ifikapo Machi 8 dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake ambapo nchi na taasisi mbalimbali huwa na shughuli kadha wa kadha katika kusherehekea siku hii. Kwa kawaida...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO MACHI 11,2017

View Article
Browsing all 22614 articles
Browse latest View live
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>