VUAI AWATAKA WANA CCM ZANZIBAR SUALA LA USAFI WA MAZINGIARA KULIFANYA KUWA...
Na Is-haka Omar, Zanzibar.CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka wananchi, wanachama, viongozi na watumishi wa Chama na Jumuiya zake Zanzibar, kulifanya suala la usafi wa mazingira kuwa sehemu ya...
View ArticleRAIS DK. MAGUFULI AWATAKA WAKUU WA WILAYA NA MIKOA KUONDOA UTITIRI WA KODI...
Na Daudi Manongi - MAELEZORais Dk. John amewataka Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kuondoa utitiri wa kodi uliopo kwenye mazao ili wakulima waweze kunufaika kutokana na kujiongezea...
View ArticlePSPF YAWAPIGA MSASA WATUMISHI OFISI YA RAS DAR ES SALAAM
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Bw. Adam Mayingu, (kulia), akipeana mikono na Katibu Tawala Msaidizi (anayeshughulikia masuala ya serikali za mitaa), jijini Dar es Salaam, Bi. Merry...
View ArticleWAZIRI HAMAD RASHID: VYAMA VYA SIASA VINA NAFASI KUISHAURI SERIKALI YA...
Na Idara ya Habari - MAELEZOWaziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Chama cha siasa cha Alliance for Democraytic Party – ADC, Wziri Hamad Rashid Mohamed...
View ArticleSHIRIKA: NDOA ZA UTOTONI BADO ZIPO IRINGA
hawa ni baadhi ya wananchi wa kabila la kimasai ambalo linakaliwa na tuhuma za kuozesha wasicha wenye umri mdogo.hili ni jengo la shirika lisilo la kiserikali la Ilula Ophan program (IOP)Na Fredy...
View ArticleKAIMU KATIBU MKUU UVCCM SHAKA AZUNGUMZA NA WATUMISHI UVCCM MAKAO MAKUU LEO
''Tuongeze bidii ya kazi kila mmoja katika nafasi yake nilazima afahamu na kutambua ya kwamba kila mfanyakazi wa jumuiya katika eneo lake, mchango wake na juhudi za zake zinahitajika sana hasa katika...
View ArticleHOTUBA YA MWISHO YA UZALENDO YA HAYATI MZEE KAWAWA AKISHEREHEKEA MIAKA 78
NA HAMISI SHIMYE-UPL“Historia ya Maisha yangu ni ndefu kama ilivyokwisha elezwa. Nilizaliwa Kijijini, nikasoma Kijijini na mjini na nikafanya kazi vijijini na mjini. Katika Maisha yangu yote...
View ArticleRIDHIWANIAWATEMBELEWA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO, AWATAKA WAHUDHURIEMIKUTANOYAKE
Mbunge wa jimbo la Chalinze, Halmashauri ya Chalinze Mkoa wa Pwani Mwanasheria Ridhiwani Kikwete akizungumza na baadhi ya wakaazi wa kijiji cha Ruvu Darajani alipokwenda kwa ajili kusikiliza mkutano...
View ArticleMAGAZETI LEO JAN 4, 2017 NDANI NA NJE YA TANZANIA
MAGAZETI YOTE YA LEO JAN 4, 2017/>BOFYA HAPA
View ArticleKINANA AONGOZA MAZISHI YA ALIYEKUWA KATIBU WA CCM WILAYA YA MONDULI, MKOANI...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana leo ameongoza mazishi ya aliyekuwa Katibu wa CCM wilaya ya Monduli mkoani Arusha, Jacob Nkomola, yaliyofanyika Mtoni Kijichi, Temeke Dar es Salaam.Katika mazishi...
View ArticleKINANA NA UJUMBE WAKE MZITO WAENDA ZANZIBAR LEO
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa na viongozi waandamizi wa CCM katika boti ya wakati wakiwa safarin kwenda Zanzibar kwenye uznduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Dmani,...
View ArticleKINANA NA UJUMBE WAKE MZITO WAWASILI ZANZIBAR, KUZINDUA LEO KAMPENI ZA...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (watano kulia) na ujumbe wake wa viongozi waandamizi kutoka makao makuu ya CCM, wakiwa kwenye chumba cha nahodha walipokuwa wakisafiri kwa boti ya mwendokasi...
View ArticleKINANA AZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE DIMANI,...
Katibu Mkuu wa CCM,Andulrahman Kinana akimnadi Mgombea wa Ubunge jimbo la Dimani Juma Ali Juma, katika uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo hilo, mjini Zanzibar, leo, Januari 5,...
View ArticleDK SHEIN AZINDUA KIWANDA CHA KUSINDIKA MAZIWA, FUMBA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa Kampuni ya Azam Group Bw.Said Salim Bakhresa mara alipowasili katika Viwanja vya...
View ArticleMAGAZETI LEO JANUARI 06, 2017, NDANI NA NJE YA TANZANIA
KUYAONA VIZURI MOJA MOJA/>BOFYA HAPA
View ArticleNAIBU KATIBU MKUU WA CCM-BARA RODRICK MPOGOLO AZINDUA MATEMBEZI YA UVCCM YA...
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akisalimia baadhi ya viongozi wa UVCCM, baada ya kuwasili kwenye uzinduzi wa matembezi ya miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwenye Viwanja vya Donge,...
View ArticleMJUMBE WA HALIMASHAURI KUU CCM NA M-NEC WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA(MB)...
Mjumbe wa Halimashauri Kuu ya CCM na MNEC Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (MB) akingalia burudani ya ngoma ya Mganda ambayo ilikuwa imeandaliwa kwa ajili ya kumkaribisha katika ofisi ya CCM Mkoa wa Ruvuma...
View Article
More Pages to Explore .....