KINANA: CCM HAITORUBUNIWA KWA AJILI YA KUPATA KURA
Balozi Hilda Komba wa shina namba 9 Tawi la Amani Makolo akimkaribisha nyumbani kwake Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na wanachama...
View ArticleKINANA AANZA ZIARA YA NYASA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Rudisha baada ya kumsimamisha na kumtaka asalimiane wananchi . Ujumbe unaomtaka Katibu Mkuu wa CCM Ndugu asimame kwenye...
View ArticleKINANA AVUNA WANACHAMA KIBAO KUTOKA UPINZANI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo ya jinsi ya kutumia vifaa vya maabara katika kufanikisha kutambua kemikali kutoka kwa wanafunzi wa kidato cha nne Erasto Ndumba na Stella...
View ArticleKINANA AMALIZA ZIARA WILAYANI NYASA, AKWEA MELI KWENDA KYELA KUENDELEA NA...
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, asubuhi hii amemaliza ziara yake katika wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma na kuanza safari ya kwenda Kyela ambako ataanza ziara katika mkoa wa Mbeya. Pichani, Kinana...
View ArticleKINANA AWASILI KYELA BAADA YA SAFARI YA ZAIDI YA SAA 24 KWA MELI KUTOKA...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi, baada ya kuwasili katika bandari ndogo ya Kiwira, wilayani Kyela mkoani Mbeya akitokea Mbamba Bay, Songea, leo Nov 24,2013. Katibu Mkuu...
View ArticleZIARA YA KINANA YATIKISA KYELA, MAELFU WAFURIKA MIKUTANO YAKE, AKATA...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika kata ya Ipinda, wilayani Kyela mkoani Mbeya, Nov 24, 2013, alipowasili katika kata hiyo akiwa katika ziara ya kukagua...
View ArticleWATENDAJI WATAKIWA KUTUMIKIA WANANCHI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa nyumba za Walimu wa Shule ya Sekondari ya Mwakaleli. Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro akikata ubao...
View ArticleKINANA AWEKA HISTORIA YA KIPEKEE KATIKA ZIARA YAKE WILAYNI RUNGWE
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Ujumbe wake (katikati) wakiwa wamezungukwa na umati wa wananchi, Kinana alipokuwa akizindua Shina la Wakereketwa Wajasirimali wa Kikundi cha Amani na Maendeleo...
View ArticleWAKULIMA WA ILEJE WAIKATAA MBOLEA YA MINJINGU
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa msingi ya wodi y a wazazi ya kituo cha afya kata ya Lubanda wilayani Ileje. Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose...
View ArticleDUNIA MZOBORA KUZIKWA MCHANA HUU MAKABURI YA KISUTU, DAR ES SALAAM
DUNIA MZOBORADAR ES SALAAM, TanzaniaMHARIRI Mwandamizi wa magazeti ya Uhuru na Mzalendo, Dunia Mzobora, ambaye amefariki dunia jana, anazikwa leo katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es SalaamHabari...
View ArticleKINANA NA MSAFARA WAKE WATINGA WILAYANI MOMBA LEO ASUBUHI
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakisalimiana na viongozi wa wilaya ya Momba mkoani Mbeya, katika mpaka wa wilaya hiyo na Ileje leo saa 5 asubuhi....
View ArticleMKUTANO WA KINANA TUNDUMA WAFUNIKA, MAELFU WAJITOKEZA, NAPE ABEBWA
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutumia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mwaka, mjini Tunduma, wilayani Momba, jioni hii, Nov 28, 2013, akiwa katika ziara ya kukagua...
View ArticleZIARA YA KINANA WILAYANI CHUNYA MOTO, AMZOA KATIBU WA CHADEMA WA WILAYA HIYO,...
Aliyekuwa Katibu wa CHADEMA wa Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, Bryson Mwasimba akionbyesha kadi yake ya chama hicho, kabla ya kumkabishi Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto), alipotangaza...
View ArticleZIARA YA KINANA JIMBO LA SONGWE WILAYANI CHUNYA YAFANA, AFUNGUA NA KUSHIRIKI...
KATIBU Mkuu wa CCM,Abdulrahman Kinana akishiriki na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (kati) na Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk. Asha_rose Migiro, katika ujenzi soko la Kata...
View ArticleKINANA AITEKA MBARALI, RUJEWA YARINDIMA, MAELFU YA WANANCHI WAJITOKEZA...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa shue ya Msingi Rujewa, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na...
View ArticleKINANA AWASILI MBEYA VIJIJINI MCHANA HUU
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi zahanati ya Shamwengo,Kata ya Inyala, Mbeya Vijijinikiwa ni shughuli yake ya kwanza kufanya baada ya kuanza ziara yake mchana huu katika wilaya...
View ArticleRAIS KIKWETE AMTEUA DK. ASHA-ROSE MIGIRO KUWA MBUNGE, KINANA, NAPE NA KANDORO...
Dk. Asha-Rose MigiroDAR ES SALAAM, TanzaniaRais, Dk. Jakaya Kikwete amemteua Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Maifa (UN) Mstaafu, Dk. Asha-Rose Migiro kuwa Mbunge.Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya...
View ArticleKINANA AMALIZA ZIARA MBEYA VIJIJINI, ATINGA MBEYA MJINI LEO ASUBUHI,...
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Maombi, Kata ya Mbalizi, Mbeya Vijijini, jana, Des 3, 2013, akiwa katika ziara ya kukagua...
View ArticleCCM YAFUNIKA MBEYA MJINI JIONI YA LEO
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo jioni kwenye viwanja vya Ruanda Nzovwe, Mjini Mbeya leo jioni Katibu Mk Maelfu ya...
View Article