MAKALA:RAIS MAGUFULI NA KASI YA UKUAJI WA UCHUMI.
RAIS JOHN POMBE MAGUFULINa:Nassir BakariMijadala mingi mitandaoni na sehemu mbalimbali kwenye mikusanyiko ya watu kwa siku za hivi karibuni ni kuhusu uchumi wa Tanzania na wanasiasa wengi kwa makusudi...
View ArticleJUMUIYA YA KIMATAIFA YAPITISHA AZIMIO KUHUSU WAKIMBIZI NA WAHAMIAJI
Kiongozi wa Ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 71 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Waziri Augustine Mahiga (Kulia), akipewa taarifa...
View ArticleRAIS MAGUFULI AMWONDOA MWENYEKITI BODI YA UDHAMINI YA MFUKO WA PENSHENI WA LAPF
RAIS MAGUFULIDar es SalaamRais Dk. John Magufuli, leo tarehe 21 Septemba, 2016 ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF Prof. Hasa Mlawa kuanzia leo.Taarifa...
View ArticleBAN KI MOON AISIHI TANZANIA KUTOCHOKA KUZISAIDIA NCHI ZENYE MIGOGORO
Katibu Mkuu Ban Ki Moon akiwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika MasharikiDk.Augutine Mahiga ambaye anamwakilisha Rais John Magufulikatika Mkutano wa 71 wa BarazaKuu la Umoja wa MataifaNa...
View ArticleBODI YA UHURU MEDIA GROUP INAYOSIMAMIA VYOMBO VYA HABARI VYA CCM YAJIUZULU.
BODI YA UHURU MEDIA GROUP INAYOSIMAMIA VYOMBO VYA HABARI VYA CCM YAJIUZULU.Bodi ya Uhuru Media Group inayosimamia vyombo vya habari vya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambavyo ni Uhuru Publications Limited...
View ArticleDC HANDENI.MH GONDWE AFANIKIWA KUTATUA MGOGORO WA MPAKA ULIOKUWA UKIVIHUSISHA...
Mkuu wa wilaya ya Handeni Mh. Gdwin GOndwe akisalimiana na mkazi wa kijiji cha nyasa. Mkuu waa Wilaya ya Handeni,Mh Godwin Gondwe Jana alifanikiwa kusuluhisha mgogoro wa mpaka uliokuwa ukivihusisha...
View ArticleDC WA HANDENI,MH GONDWE APIGA MARUFUKU MATUMIZI YA BARUTI KWA WACHIMBAJI...
Mkuu wa wilaya ya Handeni Mh.Gondwe akizungumza na wachimbaji wadogo wa madini (hawapo pichani) katika ukumbi wa halmashauri ya wilaya ya Handeni, pembeni ni Afisa madini mkazi Bw. makiyao akifuatilia...
View ArticleWAZIRI SIMBACHAWENE ATEMBELEA BANDA LA MAONESHO LA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI...
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw.Kailima Ramadhani akimkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. George Simbachawene kwenye banda...
View ArticleBODI YA MAGAZETI YA UHURU NA MZALENDO NA UHURU FM YAJIUZULU LEO
Dar es salaam,Bodi ya Uhuru Media Group inayosimamia vyombo vya habari vya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambavyo ni Uhuru Publications Limited (UPL) wachapishaji wa Mazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani na...
View ArticleDARAJA LA SALENDER KUJENGWA HADI COCO BEACH BAHARINI
Rais Dk. Magufuli akionyeshwa akiwa na Balozi wa KoreaSong Geum Young-Young, Ikulu, Dar es Salaam, leoDar es SalaamUJENZI wa Daraja la Salender litakalounganisha eneo la Coco Beach na eneo Agha Khan...
View ArticleKIKWETE ATUNUKIWA TUZO YA UONGOZI WA KISIASA NA UTETEZ
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akipokea Tuzo ya Uongozi wa Kisiasa na Utetezi kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Speak Up Afrika Bi Kate Campana, hafla iliyofanyika Alhamis jana , New York...
View ArticleNEC YAZINDUA PROGRAMU YA UTOAJI WA ELIMU YA MPIGA KURA KWA KUWAPATIA ELIMU...
Mkurugenzi Idara ya Huduma za Kisheria wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Emmanuel Kawishe akitoa ufafanuzi kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Songe nje kidogo ya mji wa Musoma...
View ArticleSPIKA WA BUNGE JOB NDUGAI AKUTANA NA KINANA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Spika wa Bunge Job Ndugai, wakati Spika alipofika kumsalimia, Ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo...
View ArticleWASTAAFU JESHI LA MAGEREZA WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM
Wastaafu wa Jeshi la Magereza wakiwasili katika Viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji, Ukonga, Dar es Salaam wakiwa wameongozwa na Kamishna Mstaafu wa Magereza Deonice Chamulesile wakielekea...
View ArticleNAIBU KATIBU MKUU WA CCM-ZANZIBAR AIPA MAELEKEZO KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA...
Na Is-haka Omar, Zanzibar.KAMATI ya Siasa ya CCM Mkoa wa Magharibi kichama imeagizwa kukagua na kusimamia vizuri utekelezaji wa ilani ya Chama ya Mwaka 2015/2020 inayotekelezwa katika majimbo ndani ya...
View ArticleTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI-NEC, YATAKA MWALIMU NYERERE KUENZIWA KWA VITENDO
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Kailima Ramadhani akiwasili nyumbani kwa familia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Butiama Musoma akiwa ameambatana na...
View ArticleVIJIJI 24 WILAYANI KASULU KUPATA UMEME WA REA AWAMU YA PILI HADI MWISHONI MWA...
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (wapili kulia) akizungumza na wananchi katika kijiji cha Mugombe wilayani Kasulu. Kulia ni Mbunge wa Kasulu, Daniel Nsanzugwanko na kulia kwa...
View ArticleRAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AHUTUBIA MAELFU YA WAKAZI WA JIJI LA NEW YORK...
Kamishna wa Kamisheni ya Kimataifa ya Elimu, Rais Mstafu Jakaya Kikwete, akihutubia maelfu ya wananchi katika jiji la New York, Marekani, wakati wa tamasha la 'Global Citizen Festival' lililofanyika...
View ArticleMAKALA:TANZANIA CHINI YA MWAMVULI WA RAIS MAGUFULI
RAIS JOHN POMBE MAGUFULINa Nassir BakariUongozi ni hali ya muhusika mmoja kuwa na dhamana, madaraka na uwezo wa kuwaongoza wengine. Ili uwepo uongozi lazima awepo kiongozi na wanao ongozwa. Kiongozi...
View Article
More Pages to Explore .....