Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wapili kushoto), akisikiliza kero, aliokutana na wanafunzi kutoka vyuo vya elimu ya Juu, mjini Njombe mchana huu
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akizungumza na wananfunzi hao baada ya kueleza kero zao. wengine (walioipa mgongo kamera) ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Naoe Nnauye na katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Mbunge Mteule, Dk. Asha-Rose Migiro
Wanafunzi ukumbini wakimsikiliza Kinana
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akizungumza na wananfunzi hao baada ya kueleza kero zao. wengine (walioipa mgongo kamera) ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Naoe Nnauye na katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Mbunge Mteule, Dk. Asha-Rose Migiro
Wanafunzi ukumbini wakimsikiliza Kinana